Ukizungumzia milionea kuna mawili interm ya dollar au hizi zetu za madafu Tsh. Kwa mtu kama Patel he must be millionaire kwa USD but not billionaire kwa USD maana Tz tuna Mo na Rostam tu hao ndio billionaires wa USD wanaosadikika mpaka sasa.
Kitu cha kunote:
Networth ya mtu hupimwa kwa investments ya mtu na total assets alizonazo na siyo pesa cash alizonazo.
Kwa Tanzania Hii Bado Mtu Mwenye hela Nyingi zaidi ni Bakhresa lakini Rostam ni bla bla za Media tu...Hela zake ziko wapi kwenye Mali zipi mana Caspian naona Macosta yakiyokua Migodini enzi za Jakaya sijaona kingine..