Naunga mkono suala la kutokuwa na sarafu mmoja kwasasa ni mapema mno. Kuna vitu ambavyo inabidi muwe mmevifikia kwa kila nchi ili muweze kuwa na sarafu mmoja.
Vitu hivyo ni kama vifuatavyo;
1. Kuwa na central bank mmoja na ni kuajili ya kuangalia na ku shauri kuhusu mzunguko wa hela na kudhibiti inflation
2. Kuwa na bajeti yenye nakisi inayokaribiana ili kuweza kudhibiti madeni ya serikali.
3. Kuwa financial regulatory mmoja kwa ajili ya prudential regulatory na financial conduct authority.
4. Taxation system inayofanana isiyokuwa na upendeleo kwa eneo Fulani.
5. Kuwa na mamlaka ya madeni ya serikali mmoja kwa jumuiya yote kwa ajili ya ku issue new debt na kudhibiti debt kwa eneo zima kwa serikali zote ku depend kwenye hiyo taasisi ili kudhibiti madeni na kutoa mikopo mipya kwa serikali.
6. Namengineyo
Tukiweza kutimiza hayo hapo juu tunaweza kufikilia kuwa na sarafu mmoja za ya hayo tuta ingia kwenye matatizo kama ya Eurozone . Tujifunze kutokana na wenzetu wa Eurozone.