jiwe la majiwe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 2,537
- 1,586
Ok.Ninashukuru kwa maoni yenu. Kuhusu vielelezo, naomba mnipe muda niombe smartphone ili nipige picha nitavi-upload hapa. Kadhalika huyu mwanaJF uliyeomba risiti za mwaka wa kwanza hadi sasa zingine zipo nyumbani. Hapa ninazo za semester iliyopita tuu. Asanteni
Mbona hazionekani..???Mkuu tayari nimeweka baadhi ya risiti za malipo niliyofanya last semester pamoja na ID ya mtihani. Hopeful mtanielewa Watanzania.
Mbona sioni..????Tayari nimeattach picha za baadhi ya vitu vilivyohitajika
Au umeweka pm..???Tayari nimeattach picha za baadhi ya vitu vilivyohitajika
Acha kebehi ndugu...Viko hapo juu!!Au umeweka pm..???
Tulia wewe nilikuwa sijaona lkn asante kwa kunielekeza.Acha kebehi ndugu...Viko hapo juu!!
ubarikiwe sana mkuu ,kwa moyo huo ,Asante Mkuu.
Hatua ninazochukua usiku huu ni Ku visit website ya hicho chuo ili nipate full contact zao na kufanya mawasiliano nao ya moja kwa moja.
Pia kuna kijana yupo hapo mwaka wa pili sasa,akichukua Economy nitajaribu kuwasiliana nae kesho asbh ili anisaidie zaidi kuliangalia jambo hili.
Pole sana Mkuu.
Karibu na wewe pia kwa kuwa unajua maswahiba haya...,ubarikiwe sana mkuu ,kwa moyo huo ,
nimefarijika sana kuona unaonyesha nia ya kumsaidia mwenzetu, najua maumivu aliyonayo nimewahi kupitia wakat kama wake.
Nakuombea tena na tena uzid kufanikiwa mkuu.
Unaweza kuwàsiliana nao kwa kupitia web yao www.saut.ac.tz au email yao sautmalimbe@saut.ac.tz au 255-28-2552725, 2550269,2550166 FAX 255-28-2550167Karibu na wewe pia kwa kuwa unajua maswahiba haya...,
Asante sana Mkuu nimeshakutana na hizo contact japo ulikuwa unatakiwa ufanye toka mwanzo ili kuturahisishia.Unaweza kuwàsiliana nao kwa kupitia web yao www.saut.ac.tz au email yao sautmalimbe@saut.ac.tz au 255-28-2552725, 2550269,2550166 FAX 255-28-2550167
Nitashukuru sana ndg. Ninakushukuru kwa kuonyesha nia ya kweli ya kunisaidia. Mungu akubariki sana.Asante sana Mkuu nimeshakutana na hizo contact japo ulikuwa unatakiwa ufanye toka mwanzo ili kuturahisishia.
Nikishafanya mawasiliano nao na kupata udhibitisho kwao nitafanya nitakachoweza aidha kwa acc yako au ya chuo moja kwa moja.
Asante.
Pamoja.Nitashukuru sana ndg. Ninakushukuru kwa kuonyesha nia ya kweli ya kunisaidia. Mungu akubariki sana.