Kumbukeni mpo kwenye makazi ya watu. Mkikuta kuko kimya sio vibaya mkaheshimu ustaarabu huo, mambo ya kupiga muziki kwa sauti kwenye magari, bajaji na bodaboda zenu si ustaarabu.
Pia kuweni na heshima na barabara, pamoja na kuheshimu wanaokimbia na waenda kwa miguu. Pengine ni pombe au ujana, lakini spidi mnazoenda nazo na kuovertake ovyo mtaja kuua watu.
Pia kuweni na heshima na barabara, pamoja na kuheshimu wanaokimbia na waenda kwa miguu. Pengine ni pombe au ujana, lakini spidi mnazoenda nazo na kuovertake ovyo mtaja kuua watu.