Ombi kwa Mheshimiwa Halima Mdee

Dopas

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2010
Posts
1,151
Reaction score
392
Habari hapo chini ni sehemu ya habari iliyoandikwa katika gazeti la Uwazi la 14/10/2014 ikieleza aliyoyaona Mheshimiwa Halima Mdee alipokuwa mahabusu wiki iliyopita. Ameorodhesha mambo matano.
Binafsi nimeguswa na yote, lakini kwa namna ya pekee nimeguswa na hili la hawa wasichana wa kazi za ndani, kuwekwa mahabusu kwa kesi za kubambikizwa.

Ombi langu kwa mheshimiwa ni kuwa suala kama hili lisiishie magazetini, natumai yeye kama mwakilishi wa wananchi imemuuma sana suala hili, nadhani atalifanyia kazi haraka zaidi kadiri uwezo wake utakamporuhusu. Ikiwezekana kulifikisha katika meza ya haki za binadamu.

 
Kuna vijana wengi tu.mmemaliza sheria hapa.ndio pa kuanzia kazi
 
Hivi yeye kule Segerea walimfanyia nini?? Mbona hajaandika...
 
Kuna "mabwege" humu wataleta siasa hata kwenye jambo zito kama hili....
 
hii nchi imechoka kuanzia viongozi hadi wananchi. utakuta mtu anatetea upuuzi km huu utadhani yeye haimhusu hata ndg yake tu yanaweza kumkuta. ingekuwa nchi zenye kufuata sheria wangefuatilia lakini kwa vile ni mpinzani... tupa kule.
 
kama walimuua mwangosi na bado wakapandishana vyeo, hilo alilosema mdee watalijali vipi? haki Tanzania itaanza kupatikana mara tu,ccm itakapotoka madarakani
 
Msipende kuijaribu system!! Mkiguswa kidogo kelele nyingi.....tunamkaribisha mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…