Kilimanjaro hatunaga huo utaratibu, wazee wote wanatunzwa na familia zao tena kwa mapenzi ya hali ya juu hakuna kuzurura kuombaomba. Pia akina mama wa Kilimanjaro hasa pale Moshi mjini ndio "chinga".
Poleni mikoa ambayo akina mama wanasubiria mwezi wa Ramadhan na kuanza kupita kwenye mabaa, maduka ya wahindi na sehemu zingine kuomba