Double Elephants JF-Expert Member Joined Mar 25, 2013 Posts 522 Reaction score 465 Jul 4, 2013 #1 Wana Jf, hivi ndugu Omary Mapuri aliyekuwa Propagandist wa CCM miaka ya 90 yupo wapi? Na je, mnakumbuka propaganda zake? Mwenye taarifa atujuze.
Wana Jf, hivi ndugu Omary Mapuri aliyekuwa Propagandist wa CCM miaka ya 90 yupo wapi? Na je, mnakumbuka propaganda zake? Mwenye taarifa atujuze.
frema120 JF-Expert Member Joined Jan 1, 2012 Posts 5,098 Reaction score 1,341 Jul 4, 2013 #2 Yupo buguruni mnyamani na Mkama wanapiga deal pale machinjioni....
O ofero Member Joined Jan 3, 2011 Posts 59 Reaction score 7 Jul 4, 2013 #3 Vizuri vinakumbumbwa kama Jembe Mapuri
mhalisi JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 1,181 Reaction score 322 Jul 4, 2013 #4 JK alipoingia madarakani alimteua kuwa balozi China baadaye nafasi yake ya ubalozi ilichukuliwa na Marmo, sijui yuko wapi hivi sasa.
JK alipoingia madarakani alimteua kuwa balozi China baadaye nafasi yake ya ubalozi ilichukuliwa na Marmo, sijui yuko wapi hivi sasa.
L Lua JF-Expert Member Joined May 19, 2011 Posts 704 Reaction score 305 Jul 4, 2013 #5 Daaah Huyu jamaa siku hizi anauza gongo tena maarufu kwa jina la baba ubaya.
K kinauche JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 7,681 Reaction score 2,219 Jul 4, 2013 #6 Lua said: Daaah Huyu jamaa siku hizi anauza gongo tena maarufu kwa jina la baba ubaya. Click to expand... Haiwezekani. Ina maana amefulia hivyo? Siyo kweli. Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Lua said: Daaah Huyu jamaa siku hizi anauza gongo tena maarufu kwa jina la baba ubaya. Click to expand... Haiwezekani. Ina maana amefulia hivyo? Siyo kweli. Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
L Lua JF-Expert Member Joined May 19, 2011 Posts 704 Reaction score 305 Jul 4, 2013 #7 kinauche said: Haiwezekani. Ina maana amefulia hivyo? Siyo kweli. Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums Click to expand... Ooooh! Kinauche hautaki, we njoo maeneo ya tandale muulize almaarufu baba ubaya yuko wapi watakupeleka.
kinauche said: Haiwezekani. Ina maana amefulia hivyo? Siyo kweli. Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums Click to expand... Ooooh! Kinauche hautaki, we njoo maeneo ya tandale muulize almaarufu baba ubaya yuko wapi watakupeleka.
K kinauche JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 7,681 Reaction score 2,219 Jul 4, 2013 #8 Lua said: Ooooh! Kinauche hautaki, we njoo maeneo ya tandale muulize almaarufu baba ubaya yuko wapi watakupeleka. Click to expand... This is very sad. However, akina Nape wanatakiwa wajifunze from him. Wasidhani kila siku watakuwa kwenye madaraka. Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Lua said: Ooooh! Kinauche hautaki, we njoo maeneo ya tandale muulize almaarufu baba ubaya yuko wapi watakupeleka. Click to expand... This is very sad. However, akina Nape wanatakiwa wajifunze from him. Wasidhani kila siku watakuwa kwenye madaraka. Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
B Bangoo JF-Expert Member Joined Nov 3, 2011 Posts 5,597 Reaction score 1,016 Jul 4, 2013 #9 Juzi juzi aliteuliwa kuwa mjumbe kwenye tume ya uchaguzi zanzibari.
Jalood JF-Expert Member Joined Dec 13, 2012 Posts 748 Reaction score 125 Jul 4, 2013 #10 Karibuni amechaguliwa na Mkuu wa Mkoa wa Zanzibar Dk. Shein kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar
Karibuni amechaguliwa na Mkuu wa Mkoa wa Zanzibar Dk. Shein kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar
K Kagalala JF-Expert Member Joined Oct 31, 2010 Posts 2,403 Reaction score 1,134 Jul 4, 2013 #11 Ukiwa na madaraka ndani ya CCM dhamila yako inakuwa imekufa na dhamila ikifa huwezi kujua tofauti kati ya Jema na baya na baada ya hapo maisha yanaweza kukutupa mahali popote
Ukiwa na madaraka ndani ya CCM dhamila yako inakuwa imekufa na dhamila ikifa huwezi kujua tofauti kati ya Jema na baya na baada ya hapo maisha yanaweza kukutupa mahali popote
K kula kulala Member Joined Apr 3, 2012 Posts 28 Reaction score 1 Jul 5, 2013 #12 mapuri yuko anzibar na amechaguliwa katika tume ya uchaguzi ya Zanzibar zec anaendeleza malengo ya ccm kule
mapuri yuko anzibar na amechaguliwa katika tume ya uchaguzi ya Zanzibar zec anaendeleza malengo ya ccm kule
K KIM JOHN UN JF-Expert Member Joined Nov 10, 2017 Posts 744 Reaction score 1,075 Jul 6, 2018 #13 Huyu jamaa kwa sasa ni Kamishna wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 57,365 Reaction score 90,719 Jul 21, 2025 #14 KIM JOHN UN said: Huyu jamaa kwa sasa ni Kamishna wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar. Click to expand... Sio Tanzania?
KIM JOHN UN said: Huyu jamaa kwa sasa ni Kamishna wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar. Click to expand... Sio Tanzania?