Ni kweli kamanda.Kwa ujumla kazi ilishaanza yani propaganda za kule kwisha habari yake.Kikubwa tunachokifanya hasa ni kukijenga chama kuanzia ngazi ya chini.Ni dhahiri Chama kikiwa na mizizi na kuwa na wakazi wanaotambulika kama ofisi na matawi hasa maeneo yetu ya umasaini hasa Oldonyosambu, Seliani,Siwandeeti,Kisongo,Sanawari,Ilboru Orgilai na kwingine hasa maeneo ya vijijini ni dhahiri CDM tutafanikiwa.Matatizo ya Ar Mashariki na Magharibi yote yanafanana hilo halina ubishi..Kinachohitajika ni kuweka mizizi ya kutosha hasa kikubwa hapa ni kukijenga chama kwanza kwa kuwa jimbo lile lina mbunge wake mpaka 2015.