Tatizo Serikali ya Tanganyika imejaa wezi kuanzia Mawaziri mpaka Raisi sasa wale wenzao wa Zanzibar wanaona hawapati kitu,uchotaji kwenye BOT ni wa hatari ,majumba ya BOT ni hatari,sijui Kagoda EPA na mambo kibao,yote yanawafanya Watanganyika kuwa na vitambi pale serikalini,ona yule mzee wa vijisenti ni muda mfupi tu alipata kazi serikalini lakini haijulikani ni miujiza gani ilimtokea akaweza kutengeneza feza kiurahisi.Si tu waachiwe wajiunge na OIC, wapewe uhuru wao kamili kama nchi inayojitegemea kwa kila kitu, nadhani tutakuwa tumepunguza matatizo mengi sana
Yaani Zanzibar haiwezi kujinunulia matrekta 50 mpake ipewe na OIC?
Kukaa tu na kupenda tu kupewa Misaada ndo imetufikisha hapa sasa miaka 40 tukiwa huru!
Miye Zenj mbona kwangu, au jina la Pasco ndio limekuchanganya ukadhaniya miye machogo!. Ukimwona Ali Uki, Ali Abas, Mwantanga Ame au hata Farouk Karim, waulizie wakulete pale kwa Msukuma nyuma ya Masomo Bookshop utanipata. Sio siri siye Zenj tumeolewa tena ndoa iso talaka hata mke afanye vitimbi vipi haachiki. Mke Zenji aliwahi kutembea nje ya ndoa na mwanaume mmoja mwarabu aitwae OIC. Alikalishwa chini na kufungiwa ndani. Sasa mumewe ajiandaa kwa chuo cha pili, EAC. Uzuri wake Mke Zenj ataendeleza heshima ya kuwa mke mkubwa.
Sorry mod, leo nimeamkia vinibu vya tende pale Kibanda Maiti na saa hizi naelekea Mchambawima na ulimi haujatereza.
Wewe Mwiba acha UTANI. SMZ is always strong.Tatizo Serikali ya Tanganyika imejaa wezi kuanzia Mawaziri mpaka Raisi sasa wale wenzao wa Zanzibar wanaona hawapati kitu,uchotaji kwenye BOT ni wa hatari ,majumba ya BOT ni hatari,sijui Kagoda EPA na mambo kibao,yote yanawafanya Watanganyika kuwa na vitambi pale serikalini,ona yule mzee wa vijisenti ni muda mfupi tu alipata kazi serikalini lakini haijulikani ni miujiza gani ilimtokea akaweza kutengeneza feza kiurahisi.
Sasa na huku Zanzibar wanaona kama ni kusubiri jamaa wanaojaza matumbo kwa kasi na ari mpya watakufa njaa na kubaki kusinyaa tu ,maana hata Kikwete nae yeye na ameanza kujaza jaza na mawaziri wake usiseme utafikiri wanakula hamira ,ila Karume amekondeana yeye na mawaziri wake ni wanyonge ,huku sehemu za kupata feza zimebanwa na Serikali ya Kikwete wanabaki kuuza ardhi kwa wataliana.
Du Ngekewa umemueleza huyo. Uzanzibari- na atafute sheria ya Uzanzibari- Baraza la Wawakilishi. Pasco ni Mzanzibari lakini usiwe na fujo.Kweli wewe ni Wakuja.Ali Uki, Farouk Karim< Masomo Bookshop, Kibanda maiti, Mchamawima vyote viakuelza Identity yako. Hata hivyo karibu Uzanzibar si Kuzaliwa bali ni kuwa mzalendo na Uzanzibari na msingi wa mwanzo ukubali kuwa Zanzibar ni nchi. Kina Karume Mkubwa, Saidi Natepe, Khamis Darweshi na wengine walio hai kama Mwinyi, Jumbe, Nassoro Moyo walikubali kuwa Wazanzibari ingawa wengine walirudi makwao baadae. Karibu upo Uzanzibari Poa.
Hii inaonyesha viongozi wengi hawana upeo wa maendeleo, fikra zao zimejikita katika kusaidiwa tu kutoka nje. Wanafikri maendeleo ya nchi ni misaada kuliko kujituma wenyewe ndio kwa maana nchi inazidi kutumbukia katika dimbwi la umasikini. Kama ni kweli vipi wanashindwa kununua matrekta 50 na wanaweza kununua magari ya kifahari kwa mawaziri wao wachache kwa gharama kubwa kuliko ya hayo matrekta ambayo wanataka wasaidiwe.
Kama Zanzibar ni nchi au si Nchi hayo ni yenu huko bara ,ila wenyewe wanasema Zanzibar ni nchi mwenye wivu ajinyonge.
La pili naona mmetoka roho kwa matrekta 50 basi hayo ni kianzio zipo ahadi kibao ambazo Zanzibar imeahidiwa.
La Tatu mkuu wenu Kikwete juzi alijisifu kwa misaada waliyotoa watu wengine akisema serikali yake imeleta maendeleo basi hayo matrekta 50 yatampa tena mdomo mwengine wa kusifu maendeleo yanayoletwa na serikali yake.
Weka kando hilo maana naona hii topiki imechanganywa wakati kuna mambo mawili tofauti hapa. Niwaulize wanaJF hivi kama mnafahamu maendeleo nitawapa haya mambo ambayo ikiwa kati yenu kuna mtu alikuwepo Zanzibar kati ya kwenye mwaka wa 1980 hadi 1989 ataweza kuona tofauti .
Tuangalie Maendeleo yaliokuwepo Zanzibar natumai hata Tanganyika yalikuwepo maana nakumbuka lile bulga la saa nne kwa waliosoma Tanga wanaujua uji huo.
Tuangalie maendeleo yalikuwapo leo yako wapi??????
1. Tulikuwa na viwanda mbali mbali kama vile cha sukari, viatu, maziwa, sigara na viwanda vidogo vidogo lakini leo vyote leo haviko;
2. Tulikuwa na meli za kifahari kama vile MV. Mapinduzi, MV. Uhuru, MV. Ukombozi leo zimekuwa mzigo kwa Serikali na hutamani hata kupanda kwa girisi iliyojaa na wakati mwingi huwa hazifanyi kazi;
3. Skuli tulipokuwa tunasoma tulikuwa tunapewa vitabu mbali mbali vya kufanya marejeo nyumbani kama Modern Biology, Physics, Chemistry, Geography ...nk. Pia tulikuwa tunakaa kwenye desk kila Mwanafunzi lake lakini leo wengi wanakaa chini;
4. Skuli tulikuwa tunatumia vifaa vya maabara vipya kutoka Uingereza kama vile Bursen burner, test tube, beakers, measuring flasks ...nk lakini leo skuli nyingi hazina vifaa hivyo;
5. Hospitali ukipelekwa kwanza unapewa cheti lakini leo unaambiwa ukanunue buku nje utafikiri unakwenda kusoma. Pia baada kwisha kuonana na Daktari unakwenda kuchukua dawa ambazo zote huwepo bila matatizo lakini leo inabidi ukanunue nje kwa Utapoa;
6. Nyumba tuliokuwa tunakaa ilikuwa ukifungua maji basi lazima ukamate kikombe kwa uangalifu au kikombe hicho kinaweza kukutoka kwa pressure ya maji lakini leo tokea mwaka 1994 hadi leo hakuna maji yaliyotoka;
7. Rais wa Zanzibar alikuwa pia Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lakini leo hata cheo chake hatukijui ni kipi maana tumeambiwa kuwa si nchi. Sasa utakuwa Rais usiokuwa na nchi?
8. Wa-Zanzibari ilikuwa ni aibu kupita njiani kuomba lakini leo limekuwa jambo la kawaida kutokana na dhiki za maisha kutokana na dudu la TRA kutukaba rohoni.
Sasa nawauliza pamoja na huyu mmachinga wa Chalinze Mkwere Kikwete apime au ayaone hayo yaliopo hapo na kama anahitaji ushahidi awaulize CCM wenziwe waliopo Zanzibar kama hayo ni ya kweli au ni propaganda ? Je hayo ni maendeleo au si maendeleo ? Hayo ndio yanayohitajika ili Serikali na yeye Kikwete kama Kiongozi wa au Raisi wa Tanzania na Mwenyekiti wa AU basi ndio maendeleo ya kujisifia linganisha barabara na hayo hapo yepi ni muhimu ? Na hasa ilivyokuwa ya juu yote yamefanywa na serikali kama matunda ya mapinduzi ni hayo yaliopo juu na si haya maendeleo anayoyasifu mlinda mapinduzi mpya Mh.Kikwete ,ni lazima akae afikiri sana sio anakwenda Pemba na Unguja na kupandwa na jazba. WaZanzibari wanajua lipi bichi na lipi limeiva ,maendeleo ya Zanzibar chini ya awamu zote tatu za uongozi Tanzania ni sifuri,hivi Kikwete na kwenda kwake kote katika safari zake za utalii kutembea hajaona maendeleo ya Nchi nyingine au anakenua tu na kupiga miruzi anapoona vya watu vinang'ara.
Kikwete amewakosea adabu watu wa Zanzibar kwa kuwambia ni walevi wa tende kwani na kusema hakutapatikana uongozi unaotokana na ridhaa za wananchi huko ni kutokuheshimiana ,maana unaposema uongozi wa kuiongoza Zanzibar kwa upinzani itawachukua muda mrefu au usipatikane kabisa huko ni kuvuka mipaka ya utawala bora ukichanganya na demokrasia yake,ingawa huo uongozi bora haupo lakini inabidi ichomekewe hivyo hivyo. Kwenda kuwasifia watu tangi la maji wakati maji yenyewe hakuna huko ni kuwadharau na kuwafanya kama ni kuwadanganya watoto wadogo unaotaka kuwakimbia.
Zanzibar will prevail even under mkoloni mweusi.
Mkuu MaxShimba salam,
Naomba ufafanuzi wa kuweka hii VIDEO hapa!!! Natanguliza shukrani Mkuu.
Once a State and/or a Country joins Islamic radical Organization such as OIC, The State will seek Islamic radical and inhuman laws to be imposed and executed in the New Muhammadic Islamic State.
Now, according to the laws of Islam's Allah, it is illegal and/or against the will of allah, for any and all ISLAM/MUSLEM to have a friendship with non believers which are CHRISTIANS, JEWS, AND ANYBOBDY WHO IS AGAINT THE MUHAMMADIC RADICAL FAITH.
Pursuant to Koran, ALLAH OF ISLAMS SAYS, kill all non believers, meaning ALL CHRISTIANS, JEWS, and NON ISLAMS to be beheaded.
If Zanzibar wants to become radical by joining the inhuman organization, OIC, it is clear per my prior visual exhibit that all CHRISTIANS WILL BE EXECUTED by the way of allah's style, BEHEADING.
ALLAH HATES CHRISTIANS AND JEWS, Koran
Ushaidi wa kwanza wa chuki ya Islam kwa non believers:
The Qur'an:
Sura (5:51) - "O you who believe! do not take the Jews and the Christians for friends; they are friends of each other; and whoever amongst you takes them for a friend, then surely he is one of them; surely Allah does not guide the unjust people."
Sura (5:80) - "You will see many of them befriending those who disbelieve; certainly evil is that which their souls have sent before for them, that Allah became displeased with them and in chastisement shall they abide." Those Muslims who befriend unbelievers will abide in hell.
This is what OIC wants and Zanzibar desires and Muslems prays for.
YouTube - Islam in Zanzibar - kidnapping and forced conversions
Is this what Zanzibar inforcing?
YouTube - Islam in Zanzibar - kidnapping and forced conversions
Is this what Zanzibar inforcing?