Ofa ofa Mwanza

Ofa ofa Mwanza

Brodre

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,587
Reaction score
1,855
Kama una-
1. mini-supermarket
2. Pharmacy
3. wholesale shop
4. Hardware
5. nk

Umehangaika sana na mahesabu kujua faida na hasara mpaka upige hesabu mwisho wa mwezi

hujui bidhaa gani zinaenda sana na zipi zimekaribia kuisha

Hujui balance ya bidhaa zako

Hufahamu mali yako ina value kiasi gani

Unamfanyakazi zaidi ya moja na hujui yupi anauza sana

Basi umepata msaada kuna system ya pos(point of sale) Ambayo itakusaidia kusolve matatizo hayo hapo juu

1. Utafaham faida au hasara ya siku wiki, mwezi hadi mwaka na miaka

2. utafaham bidhaa zako zimebaki kiasi gani

3. utafaham bidhaa gani zinaenda kwa haraka

4. mfanyakazi yupi anauza sana

5. value ya bidhaa zako zote ndani ya duka lako

Bei ni nafuu 500,000/=

cha muhimu uwe na computer

kwa ziada ya 200,000/= unaweza kuaccess system yako popote pale duniani ilimradi uwe na internet connection

Hii system imeshaonesha mafanikio sana...

Hii ni kwa kesho tu (jumatatu) kabla sijaondoka mwanza
 
Kama una-
1. mini-supermarket
2. Pharmacy
3. wholesale shop
4. Hardware
5. nk

Umehangaika sana na mahesabu kujua faida na hasara mpaka upige hesabu mwisho wa mwezi

hujui bidhaa gani zinaenda sana na zipi zimekaribia kuisha

Hujui balance ya bidhaa zako

Hufahamu mali yako ina value kiasi gani

Unamfanyakazi zaidi ya moja na hujui yupi anauza sana

Basi umepata msaada kuna system ya pos(point of sale) Ambayo itakusaidia kusolve matatizo hayo hapo juu

1. Utafaham faida au hasara ya siku wiki, mwezi hadi mwaka na miaka

2. utafaham bidhaa zako zimebaki kiasi gani

3. utafaham bidhaa gani zinaenda kwa haraka

4. mfanyakazi yupi anauza sana

5. value ya bidhaa zako zote ndani ya duka lako

Bei ni nafuu 500,000/=

cha muhimu uwe na computer

kwa ziada ya 200,000/= unaweza kuaccess system yako popote pale duniani ilimradi uwe na internet connection

Hii system imeshaonesha mafanikio sana...

Hii ni kwa kesho tu (jumatatu) kabla sijaondoka mwanza
Vipi kwenye banda la kuku unaweza kunipa hiyo huduma pia? Nadhani nitakuwa kwenye hilo kundi la nk
 
Computer nmenunua laki 2, system laki 5?
asiyejua maana aambiwi maana mkuu ungepita kimya kimya tu.... system zinauzwa hadi milioni 500, hujasikia watsapp ilinunuliwa kwa tilioni 19?
 
Mfugaji wa kuku anunue software kwa laki 5 ili iweje hauko serious kabisa
 
Back
Top Bottom