Nyumba zinauzwa

Nyumba zinauzwa

Suma50

Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
7
Reaction score
1
Nyumba mbili zilizopo kwenye eneo moja pamoja na feremu 4 zinauzwa eneo la mbagara kuu.wasiliana na mm kwenye 0718097972
 
Nyumba mbili zilizopo kwenye eneo moja pamoja na feremu 4 zinauzwa eneo la mbagara kuu.wasiliana na mm kwenye 0718097972

Matangazo kama haya ndio huwafanya watu wawaone matapeli!!
Kila siku elimu inatolewa lakini wapi!!
Haya
Sema nyumba ziko mbagala mtaa gani
Zina hati au ni hizi zetu za kienyeji
Weka bei ya ukweli
Weka picha
Tuambie swala la maji na umeme hapo likoje

sawaeee??!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom