Plot Agent
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 311
- 20
kaka dalali mimi nahitaji nyumba maeneo ya tegeta kwa maana ya nyaishozi,namanga au kunduchi iwe na angalau vyumba vitatu na choo cha kujitegemea pamoja na luku bajeti yangu laki moja kwa mwezi waweza nisaidia kwa hilo?
Nyumba inapangishwa (compound) Kunduchi
Vyumba2 masta ipo moja, sebule, jiko, choo pabriki inward.
Luku inajitegemea
Bei laki3/mwezi
Laki moja kwa mwezi upate nyumba yenye vyumba vitatu tena Tegeta au Kunduchi?kaka dalali mimi nahitaji nyumba maeneo ya tegeta kwa maana ya nyaishozi,namanga au kunduchi iwe na angalau vyumba vitatu na choo cha kujitegemea pamoja na luku bajeti yangu laki moja kwa mwezi waweza nisaidia kwa hilo?
Kumbe huyo mwenye hicho ki-swift anakaa hapo?Picha za nyumba
Kumbe huyo mwenye hicho ki-swift anakaa hapo?
Hilo gari nalikumbuka dereva wake ni mstaarabu sana, kuna siku nilikuwa naingia njia kuu, wengine wote walijifanya wana haraka lakini jamaa alinipa nafasi, sikumbuki eneo hasa lakini ni hii barabara yetu ya Bagamoyo... Tuko pamoja mkuuMkuu ndo nnaishi hapo
Hilo gari nalikumbuka dereva wake ni mstaarabu sana, kuna siku nilikuwa nainigia njia kuu, wengine wote walijifanya wana haraka lakini jamaa alinipa nafasi, sikumbuki eneo hasa lakini ni hii barabara yetu ya Bagamoyo... Tuko pamoja mkuu
Hahahahaaa...mkuu ustaarabu barabarani haungalii aina ya gari ulilonalo dhidi ya mwenzako, bali thamani ya maisha yako na wengine pia...Kwa kuwa alikuona na wewe unaendesha Swift kama yeye...:A S wink:
Hahahahaaa...mkuu ustaarabu barabarani haungalii aina ya gari ulilonalo dhidi ya mwenzako, bali thamani ya maisha yako na wengine pia...