Wadau mimi nahitaji nyumba ya kupanga ila maeneo ya kijitonyama, makumbusho au mwenge.
Nyumba iwe na sifa zifuatazo
1. Vyumba viwili vya kulala
2. Sebule
3. Jiko
4. Choo
5. Maji ya dawasco
NB:BUDGET YANGU NI LAKI MBILI TU(200, 000/=)
Wadau mimi nahitaji nyumba ya kupanga ila maeneo ya kijitonyama, makumbusho au mwenge.
Nyumba iwe na sifa zifuatazo
1. Vyumba viwili vya kulala
2. Sebule
3. Jiko
4. Choo
5. Maji ya dawasco
NB:BUDGET YANGU NI LAKI MBILI TU(200, 000/=)
Kipo chumba sebule jiko na choo chake bei 180,000 kwa mwezi. Kodi ya mwaka. Maeneo mwenge dakika 5 toka mliman city. Hakuna dalali. Ni nyumba nzuri kwa mtu anayeanza maisha. Na syo familia. Karibun. 0713401812