Nyumba Za kupanga Dsm

Joined
Jun 26, 2015
Posts
56
Reaction score
21
1. Nyumba Vyumba2, Sebule, Choo ndani na Jiko.
Bei laki4/Mwezi, kodi ya Miezi6.
Ipo MbeziBeach Tankibovu.
Mawasiliano: 0713226191
 
Chumba Masta (Chumba na Choo).
Bei 120,000/Mwezi, kodi ya Miezi6.
Ipo MbeziBeach Afrikana
Wasiliana: 0713226191

 
Guys kama una pesa nenda kaishi Chanika huko Ushuani nyumba mbovu kama hiyo hata Tabora haipo.
 
Chumba Kimoja
Kipo MbeziBeach Tankibovu
Bei 65000/Mwezi, kodi ya Miezi6.
Wasiliana: 0713226191

 
Wadau mimi nahitaji nyumba ya kupanga ila maeneo ya kijitonyama, makumbusho au mwenge.
Nyumba iwe na sifa zifuatazo
1. Vyumba viwili vya kulala
2. Sebule
3. Jiko
4. Choo
5. Maji ya dawasco
NB:BUDGET YANGU NI LAKI MBILI TU(200, 000/=)
 
Wadau mimi nahitaji nyumba ya kupanga ila maeneo ya kijitonyama, makumbusho au mwenge.
Nyumba iwe na sifa zifuatazo
1. Vyumba viwili vya kulala
2. Sebule
3. Jiko
4. Choo
5. Maji ya dawasco
NB:BUDGET YANGU NI LAKI MBILI TU(200, 000/=)
Hiyo utapata.. Lakini Kibaha au Kibamba..
 
Chumba Sebule jiko choo. Ipo mbezibeach kwakomba
Laki2/mwezi, miezi6.

0713226191
 
Kipo chumba sebule jiko na choo chake bei 180,000 kwa mwezi. Kodi ya mwaka. Maeneo mwenge dakika 5 toka mliman city. Hakuna dalali. Ni nyumba nzuri kwa mtu anayeanza maisha. Na syo familia. Karibun. 0713401812
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…