Nashukuru kwa kunilekebisha hiyo bei mwezi mmojaNgoja wakiamka watakupatia. Ila kabla hawajaja edit post yako, "wapedwa" andika "wapendwa" na "seble" andika "sebule" "nahitaji sio naitaji"
Hiyo laki saba ni kwa miezi mingapi. Maana mara nyingi kodi huwa ukitajiwa unatajiwa gharama ya mwezi mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada acha masihara, sasa kuliko ulipe kodi laki saba kwa mwezi sibora ujenge au ukanunue zile nyumba za Lugumi.
Mtoto wa kike sio mwenzio. Anatembea na ajira yake miguuniDada acha masihara, sasa kuliko ulipe kodi laki saba kwa mwezi sibora ujenge au ukanunue zile nyumba za Lugumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbn wewe ndo wa kwanza kuona makosa yangu Leo nilikosea tena ni elfu sabini mambo ya smart ndugu tusameheane.Dada acha masihara, sasa kuliko ulipe kodi laki saba kwa mwezi sibora ujenge au ukanunue zile nyumba za Lugumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu, usipende kuwa na haraka. Andika kisha pitia ili kama umekosea urekebishe kabla hujapostMbn wewe ndo wa kwanza kuona makosa yangu Leo nilikosea tena ni elfu sabini mambo ya smart ndugu tusameheane.
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaSawa mkuu, usipende kuwa na haraka. Andika kisha pitia ili kama umekosea urekebishe kabla hujapost
Sent using Jamii Forums mobile app