Nyumba ya kupanga Arusha Mjini inahitajika

Nyumba ya kupanga Arusha Mjini inahitajika

Van l

Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
74
Reaction score
12
Iwe na vyumba viwili vya kulala na sebule.bei inategemea na ubora wa nyumba
 
Iwe na vyumba viwili vya kulala na sebule.bei inategemea na ubora wa nyumba
Mbona ujasema kuhusu maji,maana kwa matatizo ya maji nadhani Arusha wanaongoza kwa TZ
 
Karibu cheka ung'atwe unga ltd; ni pm kama kweli unataka nyuma
 
Karibu cheka ung'atwe unga ltd; ni pm kama kweli unataka nyuma

Nime kupm mkuu na Mimi naomba niombe lift kwenye hili tangazo mi nataka double ila iwe self container
 
Nime kupm mkuu na Mimi naomba niombe lift kwenye hili tangazo mi nataka double ila iwe self container
Kuna nyumba USA River karibu na Kituo cha Police USA River kama kuna anayetaka kupangisha apige simu 0752488588 dalali hahitajiki,nyumba Ina furniture ndani bei nzuri ni self contained master bed room na two rooms
 
Nime kupm mkuu na Mimi naomba niombe lift kwenye hili tangazo mi nataka double ila iwe self container
Kuna nyumba USA River karibu na Kituo cha Police USA River kama kuna anayetaka kupangisha apige simu 0752488588 dalali hahitajiki,nyumba Ina furniture ndani bei nzuri ni self contained master bed room na two rooms
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom