ingekuwa ene lingine eg uwanja wa ndege, vingunguti, gmboto ungepata!Nyumba ya kununua inahitajika budget ni 70 to 80 million mwisho iwe maeneo ya mwenge, survey, sinza, ubungo, kijitonyama na iwe na documents zote. Ahsanteni
Ameir.nyumba ipo tabata kinyerezi vp utaiweza ni yakumalizia.mbele ghorofa nyuma ni nyumba ya kawaida sababu palikua na mwinuko kidogo
Nyumba ya kununua inahitajika budget ni 70 to 80 million mwisho iwe maeneo ya mwenge, survey, sinza, ubungo, kijitonyama na iwe na documents zote. Ahsanteni
...pita pita kwenye mabenki pia kuna watu wana nyumba nzuri wameshindwa kulipa mikopo, unaweza pata nyumba nzuri sana kwa bei ya benki....
..unachotakiwa kufanya ni kwenda kwa loan officers wa benki kubwakubwa,waulize kuhusu defaulters na kuwa unataka kununua hizo nyumba zao. hii inatakiwa kuwa a friendly talk na sio official talk ili akupe muongozo. kisha anaweza kukupa nyumba au akakuunganisha na mdaiwa ukakubaliana nae umlipie kimeo chake akupe hati basi unamalizana nao...Hii idea nimeipenda ila sijui pakuanzia mi navyojua si wanatoa matangazo au niende straight benki?
Na ndicho nilichokua nakifikiria ila sijui pakuanzia niende straight kwenye mabenki nikaulize au si wanatoaga matangazo kama kuna nyumba ziko mnadani?