Nyumba nzuri Mwanza Nyamongolo-kanyama

Nyumba nzuri Mwanza Nyamongolo-kanyama

Mwanza sales

Senior Member
Joined
Nov 17, 2015
Posts
193
Reaction score
87
Bei ni millioni 9.Ni nyumba ambayo haijapauliwa inavyumba 3,sitting 1,jiko choo na bafu na eneo la ukubwa wa heka moja.atakae hitaji nicheki kwa 0788752672
 

Attachments

  • 1447845926725.jpg
    1447845926725.jpg
    61.7 KB · Views: 461
  • 1447845979540.jpg
    1447845979540.jpg
    71.5 KB · Views: 430
ni wilaya gani, ni umbali gani mpaka mwanza mjini, na uelekeo gani toka Mwanza mjini???
 
ni wilaya gani, ni umbali gani mpaka mwanza mjini, na uelekeo gani toka Mwanza mjini???

Ni wilaya ya ilemela,barabara ya kwenda kisesa au magu ukipita stand ya igoma ni takribani km 4 ukiwa unaenda kisesa
 
Ni wilaya ya ilemela,barabara ya kwenda kisesa au magu ukipita stand ya igoma ni takribani km 4 ukiwa unaenda kisesa
 
Ni wilaya ya ilemela,barabara ya kwenda kisesa au magu ukipita stand ya igoma ni takribani km 4 ukiwa unaenda kisesa

Ahsante kwa taarifa. Ingekuwa karibu na maeneo ya Igoma tungefanya biashara.
 
Kwanini iuzwe mil 3,kiwanja bei gani,jengo lenyewe bei gani
?
 
Mhh kwa iyo mwanza maisha ni rahisi hivi ?

Nyumba 9 m aseh ntakuja wekeza mwanza sasa

Au iyo nyumba inamgogoro mkuu? Mana mhh
 
Mhh kwa iyo mwanza maisha ni rahisi hivi ?

Nyumba 9 m aseh ntakuja wekeza mwanza sasa

Au iyo nyumba inamgogoro mkuu? Mana mhh

Haina mgogoro wowote ni thamani halisi kulingana na eneo iliyopo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom