Nyumba inapangishwa iko Tegeta -Nyaishozi- karibu mita 500 tu kutoka barabara ya lami -bagamoyo road (upande wa beach). Ina vyumba viwili vya kulala-mojawapo ni selfcontained, ina sebule, dining, jiko na choo/bafu la public. Nyumba iko ndani ya fence ya ukuta wa matofali na ina geti imara. Pia ina umeme wa luku na maji ya uhakika. Ndani ya fence kuna sehemu kubwa ya wazi inayoweza kulaza magari zaidi ya 8. Pia ina banda dogo pembeni inayoweza kutumika kama jiko la nje. Nyumba yote ina ceiling board ya gypsum. Nyumba iko kwenye plot iliyopimwa na ina Hati.
Malipo kwa mwezi ni 150,000 na yanalipwa kwa mkupuo wa mwaka. Mawasiliano ni kupitia namba 0713 315808