Nyumba nyumba nyumba

Nyumba nyumba nyumba

mama kokuu

Senior Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
131
Reaction score
22
@ nyumba ya kifahari inapangishwa inapatikana maeneo ya kibamba gogoni karibu na kwa mzee kawawa.
@ ina vyumba vinne(4) vya kulala na ikiwemo master bed room mojana choo na bafu ndani.
Maji ya bomba na tank la lita 1000.
Kwa mwezi ni laki tatu(300,000).

NOTE: HAINA DALALI

Kwa mawasiliano piga namba: 0713351007,,,,0762656348
 

Attachments

  • nyumba 1.jpg
    nyumba 1.jpg
    157.7 KB · Views: 207
  • nyumba2.jpg
    nyumba2.jpg
    192.6 KB · Views: 210
  • nyumba 3.jpg
    nyumba 3.jpg
    186.6 KB · Views: 173
Huko kote unataka laki tatu kwamwezi, labda umpate mfanyakazi wa kiwanda cha saruji cha wazo hill lakini kwa sisi tunaofanya kazi posta tutaendelea kupanga Sinza na maeneo ya jirani
 
Duh! Hiyo ndio nyumba ya kifahari??

Halafu mkuu kodi ya 300,000/- ni kubwa sana kulingana na features za hiyo nyumba ya kifahari. No fensi, nyumba iko so isolated, naona mapori makubwa yameizunguka hapo...sio safe, halafu ni mbali na mji...ahhhh laki 3 is too much bwana.

Umesema hutaki dalali, lakini mi naona wewe ni dalali sema hutaki dalali mwingine aongezeke hapo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom