Mwanza sales
Senior Member
- Nov 17, 2015
- 193
- 87
Ni nyumba kubwa na ya kisasa ipo nyegezi chuo cha SAUT ina vyumba 4,sitting kubwa 2,dinning na jiko 1,choo na bafu.bado madirisha na milango umeme na maji yako.kwa anaehitaji bei ni milion 15.tuwasiliane kwa 0788752672