Nyumba kubwa Nyegezi Mwanza

Nyumba kubwa Nyegezi Mwanza

Mwanza sales

Senior Member
Joined
Nov 17, 2015
Posts
193
Reaction score
87
Ni nyumba kubwa na ya kisasa ipo nyegezi chuo cha SAUT ina vyumba 4,sitting kubwa 2,dinning na jiko 1,choo na bafu.bado madirisha na milango umeme na maji yako.kwa anaehitaji bei ni milion 15.tuwasiliane kwa 0788752672
 

Attachments

  • 1448573355681.jpg
    1448573355681.jpg
    55.4 KB · Views: 826
  • 1448573382079.jpg
    1448573382079.jpg
    49.5 KB · Views: 761
  • 1448573403519.jpg
    1448573403519.jpg
    41 KB · Views: 750
Magufuli, Magufuli, Magufuli!!

Kweli leo nauza nyumba yangu kwa bei cheee!?
 
Mkuu ungepiga picha na hati ya nyumba ukatumiamo humu ungefanya jambo la mbolea sana.
 
Mkuu ungepiga picha na hati ya nyumba ukatumiamo humu ungefanya jambo la mbolea sana.

We acha utapeli,hati ya nyumba aiweke humu kirahisi ili mtoe copy mkapige hela eee.
Wabongo kwa wizi?
Mnunuaji aende akaione,na afuatilie uhalali then atoe pesa.Hata hivyo mwanza bei kwa nyumba hizo ni za kawaida.Na hujui mtu kafikwa na shida gani.
 
We acha utapeli,hati ya nyumba aiweke humu kirahisi ili mtoe copy mkapige hela eee.
Wabongo kwa wizi?
Mnunuaji aende akaione,na afuatilie uhalali then atoe pesa.Hata hivyo mwanza bei kwa nyumba hizo ni za kawaida.Na hujui mtu kafikwa na shida gani.

Biashara ni matangazo mkuuu...
 
Ni nyumba kubwa na ya kisasa ipo nyegezi chuo cha SAUT ina vyumba 4,sitting kubwa 2,dinning na jiko 1,choo na bafu.bado madirisha na milango umeme na maji yako.kwa anaehitaji bei ni milion 15.tuwasiliane kwa 0788752672

We jamaa kiwanja kina kina HATI au hakina funguka hapo
 
Narudi mwanza December 20 hivi,kama itakuwepo nitakuja tujadili biashara

Mungu akipenda, kama itakuwa haijanunuliwa maana bado wateja wanafika wanakagua wangu wameaidi kulipa wiki ijayo
 
Asanteni wote hatiamae nyumba imeuzwa rasmi, nawatakieni heri ya sikukuu na mwaka mpya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom