nyumba inauzwa

nyumba inauzwa

Doi

Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
23
Reaction score
1
nyumba inauzwa maeneo ya kinondoni kama unaelekea mwananyamala,
Nyumba ipo barabarani ina maduka mbele,kuna uwanja umebaki pia haujajengwa,eneo ni kubwa sana,kunafaa kujengwa hata ofisi.
bei ya kuanzia mil 400.
Kwa anaehitaji apige no 0712248935.
Mm sio dalali ni mwenye mali.
 
Kwani ukiwa dalali kuna ubaya gani? mwenye mali unauza nyumba bila hata picha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom