Nyumba inauzwa

Nyumba inauzwa

Suma50

Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
7
Reaction score
1
Nyumba mbili kubwa za vyumba saba zilizo kwenye kiwanja kimoja zinauzwa pia kuna feremu nne zipo mbagala kuu,kwa maelezo zaidi piga 0718097972
 
Tuheshimiane au vp we kama hujaelewa ni bora upite tu sawa.

Sasa unataka uheshimike wakati unafanya Biashara kama uko Karne ya 16, kila leo biashara ni matangazo sio unaweka No ya simu halafu ukiulizwa unasema mheshimiane..nani akuheshimu mteja wako wewe ndio unatakiw kumheshimu maana anakupa wewe ulaj sio wewe na njaa zako tena mteja akuheshimu...
 
Nyumba mbili kubwa za vyumba saba zilizo kwenye kiwanja kimoja zinauzwa pia kuna feremu nne zipo mbagala kuu,kwa maelezo zaidi piga 0718097972

Tuheshimiane au vp we kama hujaelewa ni bora upite tu sawa.

Mkuu weka picha na bei ya kuanzia mtu ajipime kulingana na kipato chake
 
hahhaah...wewe inaonesha una njaa kali halafu umeanz akujifunza udalali baada ya kuona utapeli umekushinda mbweha mweusi wewe..

Masikini wanakosoa post ,matajiri wanapanda hewan endeleen na majungu yenu
 
Anataka mumpgiepigie ili cm iwe buzy aonekane mtu wa bsness. punguza usumbufu. weka bei na picha ili atajaekupgia awe atleast kaanza kujpanga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom