JAMAA1HIVI
Member
- Feb 25, 2013
- 17
- 2
Nyumba iko kinyerezi(ulongoni) ina viumba 4 kimoja master ina dinning,sitting room,tiles,gypum na msingi wa ukuta(fece) na msingi wa nyumba ni mrefu 0714 119988 jemedary {wahi mapema}
kwenye matangazo utaimba wee kuhusu bei,ila watu bado hawajifunzi.kutoweka bei ni kutojiamini.na mfanya biashara unatakiwa ujiamini.hata kama bei ni ya juu wewe weka tu.biashara inatakiwa iwe na mvuto wa kumfanya mtu awe na interest na kile kitu.weka vitu vinavyotakiwa bwana kama bei,maelezo zaidi ya nyumba na picha