vyumba viwili harafu unauza million 600,tanzania kweli shamba la bibi,tena sehemu ya mchikichin karibu na tbl kunanuka harufu ya bia pombe,nyumba zimebanana kama slum za kibera kenya au brazil,
utauzaje nyumba million 600 harafu usiweke picha!!!!!!!!!!!!!!
sijui vile mnafanya biashara tena karne hii