Habari ndugu zangu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, kuwa nyumba inauzwa, Nyumba hiyo ipo eneo la kivule, banana dar es salaam.
Nyumba hyo ina vyumba vitano ndani,
Master bedroom
4 single bedrooms
Store
Dining
Seating room
Public toilets inside,
Pia ina eneo kubwa kwa nje ambalo limejengwa vyumba vya uwani ambavyo havijamaliziwa kujengwa, na msingi wa fensi pamoja na eneo la parking.
Nyumba haina tatzo lolote kifamilia au mgogoro wowote, hati zipo kamili na haidaiwi chochote,
Sababu za kuuzwa ni kukamilisha mambo mengine kibiashara,
Ukubwa wa eneo ni square meter 655, na bei ni sh 25 million,
Kwa mteja ambaye yuko serious tuwasikiane kwa namba 0674 637243
Haina udalali
Pia kuna baadhi ya picha unaweza kuiona hapo chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, kuwa nyumba inauzwa, Nyumba hiyo ipo eneo la kivule, banana dar es salaam.
Nyumba hyo ina vyumba vitano ndani,
Master bedroom
4 single bedrooms
Store
Dining
Seating room
Public toilets inside,
Pia ina eneo kubwa kwa nje ambalo limejengwa vyumba vya uwani ambavyo havijamaliziwa kujengwa, na msingi wa fensi pamoja na eneo la parking.
Nyumba haina tatzo lolote kifamilia au mgogoro wowote, hati zipo kamili na haidaiwi chochote,
Sababu za kuuzwa ni kukamilisha mambo mengine kibiashara,
Ukubwa wa eneo ni square meter 655, na bei ni sh 25 million,
Kwa mteja ambaye yuko serious tuwasikiane kwa namba 0674 637243
Haina udalali
Pia kuna baadhi ya picha unaweza kuiona hapo chini
Sent using Jamii Forums mobile app