NYUMBA INAUZWA

NYUMBA INAUZWA

quant

Member
Joined
Apr 7, 2017
Posts
17
Reaction score
23
Habari ndugu zangu,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, kuwa nyumba inauzwa, Nyumba hiyo ipo eneo la kivule, banana dar es salaam.

Nyumba hyo ina vyumba vitano ndani,
Master bedroom
4 single bedrooms
Store
Dining
Seating room
Public toilets inside,

Pia ina eneo kubwa kwa nje ambalo limejengwa vyumba vya uwani ambavyo havijamaliziwa kujengwa, na msingi wa fensi pamoja na eneo la parking.

Nyumba haina tatzo lolote kifamilia au mgogoro wowote, hati zipo kamili na haidaiwi chochote,

Sababu za kuuzwa ni kukamilisha mambo mengine kibiashara,

Ukubwa wa eneo ni square meter 655, na bei ni sh 25 million,

Kwa mteja ambaye yuko serious tuwasikiane kwa namba 0674 637243

Haina udalali

Pia kuna baadhi ya picha unaweza kuiona hapo chini

1f4735ea1a97cd0adf5af9e56b1cdca1.jpg
a793945015790506aa8371502d6087f0.jpg
0e3c5d7b268b67c61568673d8b23af69.jpg
1f9e5b81e178195b682ebe1c97923cea.jpg
e9b8c14105f59e28d496e82d138992f1.jpg
d2976769969f9cc1998f8fe933ca0001.jpg
ad8fca78bf032866b752092e037fa1e6.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom