Nyumba nzuri ipo Jirani na VETA ya Airport Dar es salaam,ni 1km kutoka nyerere road. Ina fence ya ukuta na fremu tatu kwa nje. Ina vyumba 3 kimoja ni master na choo cha public nafasi ya kutosha kwa parking ya gari mbili. Bei shilingi milioni 140/= Maongezi pia yapo. Mawasiliano ni 0658 283200 au 0625 482873