Piga 0672201901
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=251344&stc=1&d=1431491964
Weka bei kianzio,hiyooo ni biashara
TZS 325M kwa maelewano zaidi na kuona piga simu
TZS 325M kwa maelewano zaidi na kuona piga simu
TZS 325M kwa maelewano zaidi na kuona piga simu
Labda guguletu au lang'a
Hiyo pesa kama nipo South Africa au USA nimeshanunua nyumba ya maana na change nabakia nayo ambayo ninaweza ku invest kuliko kununua hilo boma lisilo na maji wala umeme usiokuwa wa uhakika, gari linafika huko?
Hiyo pesa kama nipo South Africa au USA nimeshanunua nyumba ya maana na change nabakia nayo ambayo ninaweza ku invest kuliko kununua hilo boma lisilo na maji wala umeme usiokuwa wa uhakika, gari linafika huko?
Mkuu kumbe hapa Bongo watu wanazingua kuna mtu nae ananunua nyumba bil. Dah kweli kama ni kweli ngoja nijichange naeza ondoka bongo who knows, mwananyamala nako kuna nyumba za mil 300 siku hiz
Labda guguletu au lang'a
TZS 325M kwa maelewano zaidi na kuona piga simu
Duuu....ukiuza mkuu shida zako zote zitakuwa zimeisha. Nyumba ya sample km hiyohiyo pale las vegas US inauzwa $70,000
hahahaa...las vegas ya usagara!