Nyumba inauzwa Tabata Kinyerezi

Nyumba inauzwa Tabata Kinyerezi

dip pub

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2014
Posts
389
Reaction score
74
Nyumba mbili zenye vyumba vinne kimoja kikiwa ni master,jiko store,sitting room na dining room kwa kila nyumba moja,
zina eneo la ukubwa wa squire meter 1000 kwa kila moja
bei ni milioni 200kwa nyumba yenye bati jekundu na milioni 170 yenye bati la blue
kwa mawasiliano zaidi piga
0714358610
 

Attachments

  • IMG-20140809-WA0000.jpg
    IMG-20140809-WA0000.jpg
    42.9 KB · Views: 821
  • IMG-20140809-WA0002.jpg
    IMG-20140809-WA0002.jpg
    151.3 KB · Views: 722
  • IMG_20140808_090848.jpg
    IMG_20140808_090848.jpg
    335.7 KB · Views: 677
  • IMG_20140808_090907.jpg
    IMG_20140808_090907.jpg
    226.6 KB · Views: 660
  • IMG_20140808_090945.jpg
    IMG_20140808_090945.jpg
    255.4 KB · Views: 625
  • IMG_20140808_091037.jpg
    IMG_20140808_091037.jpg
    156.4 KB · Views: 605
  • IMG_20140808_090815.jpg
    IMG_20140808_090815.jpg
    315.7 KB · Views: 590
  • IMG_20140808_090219.jpg
    IMG_20140808_090219.jpg
    272 KB · Views: 583
  • IMG_20140808_090223.jpg
    IMG_20140808_090223.jpg
    310.6 KB · Views: 578
  • IMG_20140808_090246.jpg
    IMG_20140808_090246.jpg
    286.8 KB · Views: 614
Wewe dip pub toa maelezo ya kitosha. Je nyumba ina hati au leseni.ya makazi, umeme, maji, je kufikika kwa gari? naona ni nyumba mpya pengine hawajaishi watu. Mwenye nyumba yuko wapi?
 
Last edited by a moderator:
document zote zipo
ndugu yangu zogwale hata macho ya kuona hauna kama nyumba zina umeme
kingine ndo maana nikaweka namba ya simu kama unahitaji na unamaswali yako ya kuuliza piga simu au pm ujibiwe
 
tusipende kufanya vitu kwa mazoea
 
Wewe dip pub toa maelezo ya kitosha. Je nyumba ina hati au leseni.ya makazi, umeme, maji, je kufikika kwa gari? naona ni nyumba mpya pengine hawajaishi watu. Mwenye nyumba yuko wapi?

kuna kila kitu maji,umeme na gari linafika mpaka ndani
 
Huyu jamaa dip pub dawa yake ni kutokusoma matangazo yake he is F*** bness man/woman. Hatoi bei anaringa na hajui kwamba wateja wengine wanakuwa derived na bei to call or to pm his F*** phone number.
 
Huyu jamaa dip pub dawa yake ni kutokusoma matangazo yake he is F*** bness man/woman. Hatoi bei anaringa na hajui kwamba wateja wengine wanakuwa derived na bei to call or to pm his F*** phone number.

mbona umejaa upepo ndugu yang????
 
We tangu lini Dalali akawa na Dhamana,
We mtafute Dalali yoyote maeneo hayo mpe tu picha basi atakupeleka kwa mwenye nyumba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom