Nyumba inauzwa Mwanza

Nyumba inauzwa Mwanza

NAKWEDE

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2007
Posts
27,972
Reaction score
35,192
Nauza nyumba yangu iko Kirumba, Wilaya ya Ilemela mkoa wa Mwanza.
Ina vyumba vine (4) choo na bafu viko nje
 
mods unafuta post zetu mnaancha hawa watu wanapost utumbo. badala mfute utumbo mnafuta post zetu
 
mods unafuta post zetu mnaancha hawa watu wanapost utumbo. badala mfute utumbo mnafuta post zetu
Kutangaza kuuza nyumba ni utumbo?! watu mmechanganyikiwa nahisi. kwani ni dhambi nikitangaza kuuza nyumba yangu???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom