Meku tz Member Joined Dec 16, 2016 Posts 37 Reaction score 18 Dec 21, 2016 #1 Hii hapa chini, hii inatakiwa 170 milioni, ipo Tandika ina bedrooms 4,ina sitting room,ina dining, jiko na kisima. Inauzwa na vitu vyake vya ndani bado vipya na nyumba ni mpya
Hii hapa chini, hii inatakiwa 170 milioni, ipo Tandika ina bedrooms 4,ina sitting room,ina dining, jiko na kisima. Inauzwa na vitu vyake vya ndani bado vipya na nyumba ni mpya
siwazi wa siwazi Member Joined Aug 20, 2016 Posts 9 Reaction score 2 Dec 21, 2016 #2 Inauzwa kwa sababu gani?
nkobanks JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 681 Reaction score 401 Dec 21, 2016 #3 Ipo wap?na inauzwa kwa sababu gan?na inaukubwa gan kiwanja unapofanya biashara weka taarifa zote sio kama unauza nyanya humu
Ipo wap?na inauzwa kwa sababu gan?na inaukubwa gan kiwanja unapofanya biashara weka taarifa zote sio kama unauza nyanya humu
Mtambuzi Platinum Member Joined Oct 29, 2008 Posts 8,809 Reaction score 15,441 Dec 21, 2016 #4 siwazi wa siwazi said: Inauzwa kwa sababu gani? Click to expand... Mkuu kuna nyumba siku hizi zinauzwa ili kulipa madeni ya Bank maana ukisubiri waje kuipiga mnada itauzwa bei ya kutupwa kwa deal maalum ilimradi Bank warudishe pesa zao. Hii inaitwa heri nusu shari kuliko shari kamili
siwazi wa siwazi said: Inauzwa kwa sababu gani? Click to expand... Mkuu kuna nyumba siku hizi zinauzwa ili kulipa madeni ya Bank maana ukisubiri waje kuipiga mnada itauzwa bei ya kutupwa kwa deal maalum ilimradi Bank warudishe pesa zao. Hii inaitwa heri nusu shari kuliko shari kamili
Mungu ibarik JF-Expert Member Joined Oct 22, 2015 Posts 3,384 Reaction score 11,538 Dec 21, 2016 #5 Hiyo nyumba watu walishawahi kuishi?.
G'taxi JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 6,651 Reaction score 8,699 Dec 21, 2016 #6 siwazi wa siwazi said: Inauzwa kwa sababu gani? Click to expand... Swali zuri sana sana!
essaugervas JF-Expert Member Joined Jun 25, 2016 Posts 580 Reaction score 281 Dec 21, 2016 #7 nyumba nzuri sana na hela inayouzwa ni nyingi sana
Baba Ndubwi JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 1,276 Reaction score 2,059 Dec 21, 2016 #8 mh mpaka na vijiko humohumo 170ml
Sahani20 JF-Expert Member Joined Feb 11, 2013 Posts 1,517 Reaction score 746 Dec 21, 2016 #9 siwazi wa siwazi said: Inauzwa kwa sababu gani? Click to expand... itakua kwenye hifadhi hii nahisi japo sijui ni TANAPA au TANRODAS
siwazi wa siwazi said: Inauzwa kwa sababu gani? Click to expand... itakua kwenye hifadhi hii nahisi japo sijui ni TANAPA au TANRODAS