Nyumba inauzwa million170

Meku tz

Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
37
Reaction score
18
Hii hapa chini, hii inatakiwa 170 milioni,
ipo Tandika ina bedrooms 4,ina sitting room,ina dining, jiko na kisima.


Inauzwa na vitu vyake vya ndani bado vipya na nyumba ni mpya
 
Ipo wap?na inauzwa kwa sababu gan?na inaukubwa gan kiwanja unapofanya biashara weka taarifa zote sio kama unauza nyanya humu
 
Inauzwa kwa sababu gani?
Mkuu kuna nyumba siku hizi zinauzwa ili kulipa madeni ya Bank maana ukisubiri waje kuipiga mnada itauzwa bei ya kutupwa kwa deal maalum ilimradi Bank warudishe pesa zao.

Hii inaitwa heri nusu shari kuliko shari kamili
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…