Aisee yaani hapo ndo umeweka tangazo na unaamini utauza... Hebu kuwa serious kidogo... Taja nyumba ina vyumba vingapi, ukubwa wa eneo, ofa yao, na ikiwezekana picha..mwingine anaweza kuwa hana uhitaji lakini maelezo na picha vikamshawishi Kuwa mshawishi kidogo.. Kuuza kitu online sio kirahisi hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.