mfetere
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 251
- 95
Habari wadau nyumba inauzwa ipo tangibovu, vyumba vitatu vya kulala viwili ni master, sebule, jiko na dining ipo sehemu nzuri gari inafika maji, umeme vipo mwenyewe anakaa hapo kwenye nyumba haina longo longo njoo uwone nyumba bei ameanzia mil 120 maongezi yapo mengi sana maana jamaa ametaitiwa kwa mawasiliano 0714787795 karibuni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app