Nyumba inauzwa Mbagala Mbande

Nyumba inauzwa Mbagala Mbande

tpmazembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
2,469
Reaction score
588
Nyumba iko karibu na stendi mbande, bei ni mil 8, maji yapo karibu, umeme uko nyumba ya tatu toka yangu ni suala la kuvuta tu, ina vyumba vtatu na sebule.bei ni mil 8.
anayehitaji ani pm.
 
Nyumba iko karibu na stendi mbande, bei ni mil 8, maji yapo karibu, umeme uko nyumba ya tatu toka yangu ni suala la kuvuta tu, ina vyumba vtatu na sebule.bei ni mil 8.
anayehitaji ani pm.

Hebu weka picha tuione hiyo nyumba ya Mil.8, na je ni yako binafsi au ya urithi..!?
 
1km kutoka stendi na kiwancha ni 50 by 40 metre

Sorry, waweza kunisaidia Mbande iko wapi?
Ndio Chamanzi?
Kama sio, wapi ni mbali zaidi?
Chaweza kua umbali gani from Round About ya Rangi Tatu?
 
mbele ya chamazi , ni 2km from chamazi azam stadium.
 
sorry, waweza kunisaidia mbande iko wapi?
Ndio chamanzi?
Kama sio, wapi ni mbali zaidi?
Chaweza kua umbali gani from round about ya rangi tatu?
fanya reference iwe uwanja wa azam... Rangi tatu mbali mkubwa
 
Ukiweka picha itasaidia sana
 
Nahitaji kuona nyumba hiyo tafadhali kama utaweka namba yakp ya simu ingekuwa bora kwa urahisi Wa kuwasiliana na kuweza kufika huko mbande. Mie namba zangu 0782335151 or 0756600311
 
Kwa hali ya viwanja Dar ilivyo kwa sasa, ikizingatiwa miaka 4 iliyopita nilitembea sana hiyo mitaa kutafuta viwanja, hata nikaenda kuonyeshwa viwanja vya milioni 4-6 baada ya kuvuka bonde fulani mbele(kwa waliofika watalijua hilo), nimepita mpaka msongola, then leo 2014 nyumba ya bei hii 8m kuwepo Mbande inanitisha sana mimi hata kama ingelikuwa ni kiwanja cha 50x40, something must be wrong with this deal. Anyway, idhari tu hiyo msvunjike moyo wadau kwenda kujipatia nyumba hiyo!
 
Kwa hali ya viwanja Dar ilivyo kwa sasa, ikizingatiwa miaka 4 iliyopita nilitembea sana hiyo mitaa kutafuta viwanja, hata nikaenda kuonyeshwa viwanja vya milioni 4-6 baada ya kuvuka bonde fulani mbele(kwa waliofika watalijua hilo), nimepita mpaka msongola, then leo 2014 nyumba ya bei hii 8m kuwepo Mbande inanitisha sana mimi hata kama ingelikuwa ni kiwanja cha 50x40, something must be wrong with this deal. Anyway, idhari tu hiyo msvunjike moyo wadau kwenda kujipatia nyumba hiyo!
Kuna-udanganyifu fulani kwa huyu ndugu, hajasema ukweli halisi anataka kupata wateja haraka haraka, inawezekana sio ukubwa huo, au nimbali sio kama asemavyo, pia inawezekana sio nyumba ni mabanda. Au anataka Kutapeli watu. Viwanja tu chamazi mbande mita 15 kwa 15 vilivyopo ktk mitaa ni 5m mpaka 7m. Sasa mita 50 kwa 40 na nyumba juu kwa 8m ?!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom