bongo soft guru
Member
- Nov 17, 2015
- 97
- 23
Nyumba kuukuu (iliyo katika kiwanja chenye nafasi ya kujenga nyumba nyingine (mita 25 kwa mita 70),inauzwa Kimara mwisho,mita 700 toka Morogoro Road,pembeni ya barabara iendayo Bonyokwa,eneo linaloitwa Ghorofani/makaburini.
Sababu ya kuuzwa ni kwa ajili ya matibabu ya mmiliki wake.
Bei ni 15,000,000/= (Maelewano yapo)
Kwa mwenye nia ya kununua,tafadhali wasiliana nami PM au acha namba utafutwe.
Updates: Kama unatoka Ubungo,ukifika Kimara mwisho stand ya BRT,unaingia barabara inayopanda kushoto kwako (Bonyokwa Road),halafu unaenda mpaka upite Tanesco Stand ya Bonyokwa ( Lukumay Tower) utakuta mkono wako wa kuume kuna makaburi,nyuma ya makaburi ndio ilipo nyumba.
Sababu ya kuuzwa ni kwa ajili ya matibabu ya mmiliki wake.
Bei ni 15,000,000/= (Maelewano yapo)
Kwa mwenye nia ya kununua,tafadhali wasiliana nami PM au acha namba utafutwe.
Updates: Kama unatoka Ubungo,ukifika Kimara mwisho stand ya BRT,unaingia barabara inayopanda kushoto kwako (Bonyokwa Road),halafu unaenda mpaka upite Tanesco Stand ya Bonyokwa ( Lukumay Tower) utakuta mkono wako wa kuume kuna makaburi,nyuma ya makaburi ndio ilipo nyumba.