Nyumba inauzwa Dodoma

Nyumba inauzwa Dodoma

Nyumba inauzwa chidachi east-dodoma kwa mawasiliano 0769054296

Acha kukimbilia kutoa namba ya simu, mwaga kwanza details hapa watu wakielewa watakupigia.
Inauzwa shs ngapi? Kiwanja kimepimwa? haina mgogo wa kifamilia (ya urithi)?, fafanua chidachi east iko karibu na nini pia weka picha tuone standard ya nyumba.
 
Acha kukimbilia kutoa namba ya simu, mwaga kwanza details hapa watu wakielewa watakupigia.
Inauzwa shs ngapi? Kiwanja kimepimwa? haina mgogo wa kifamilia (ya urithi)?, fafanua chidachi east iko karibu na nini pia weka picha tuone standard ya nyumba.
Well said!!
 
Inauzwa shs million 20, Kiwanja kimepimwa na kina hati , haina mgogoro wowote wa kifamilia au urithi (ya kwangu mwenyewe), iko chidachi east karibu na kibao shule ya Sekondari Mkonze Iringa Road, ina vyumba vitatu - kimoja master, sitting room,dinning room, kitchen na stoo. bado kupaua.
 
Inauzwa shs million 20, Kiwanja kimepimwa na kina hati , haina mgogoro wowote wa kifamilia au urithi (ya kwangu mwenyewe), iko chidachi east karibu na kibao shule ya Sekondari Mkonze Iringa Road, ina vyumba vitatu - kimoja master, sitting room,dinning room, kitchen na stoo. bado kupaua.
natoa m5 mkuu, kama inalipa ni PM
 
Inauzwa shs million 20, Kiwanja kimepimwa na kina hati , haina mgogoro wowote wa kifamilia au urithi (ya kwangu mwenyewe), iko chidachi east karibu na kibao shule ya Sekondari Mkonze Iringa Road, ina vyumba vitatu - kimoja master, sitting room,dinning room, kitchen na stoo. bado kupaua.

Chidachi east M 20?na wa OYSTERBAY MAILIMBILI WAUZE BEI GAN?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom