Nyumba inauzwa chanika

Nyumba inauzwa chanika

golden pride

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
847
Reaction score
435
Wakuu habari za weekend. Poleni na majukumu ya hapa na pale.
Kiimfaacho mtu chake. Nauza Nyumba yangu ambayo haijaisha.
Sifa za Nyumba/pagale
-Ni Vyumba viwili, katikati ndio kuna sebule.
-Pagale limepigwa bati tayari, Kwa staili ya kisasa.
-Ukubwa WA Kiwanja 26*27m
-Eneo Chanika Zogo Ali
-Umeme upo, nguzo tatu
-Majirani wapo wengi, kumejengeka

Picha nitaupload baadae, Niko mkoa mwingine kuna MTU nimemtuma

Bei 10m

Simu 0716411720
 
Wakuu habari za weekend. Poleni na majukumu ya hapa na pale.
Kiimfaacho mtu chake. Nauza Nyumba yangu ambayo haijaisha.
Sifa za Nyumba/pagale
-Ni Vyumba viwili, katikati ndio kuna sebule.
-Pagale limepigwa bati tayari, Kwa staili ya kisasa.
-Ukubwa WA Kiwanja 26*27m
-Eneo Chanika Zogo Ali
-Umeme upo, nguzo tatu
-Majirani wapo wengi, kumejengeka

Picha nitaupload baadae, Niko mkoa mwingine kuna MTU nimenunua

Bei 10m

Simu 0716411720
bei juu
 
Mkuu chukua millioni nne chapuchapu kule shamba sana huwezi pata nyumba ya vyumba viwili kwa hiyo bei kama upo tayari chapu nitafute kwa no 0715378687
 
Mkuu chukua millioni nne chapuchapu kule shamba sana huwezi pata nyumba ya vyumba viwili kwa hiyo bei kama upo tayari chapu nitafute kwa no 0715378687
Mkuu hiyo si ni bei ya Kiwanja Tu. Nyumba ina Vyumba viwili na sebule. Sebule IPO katikati. Tayari bati limepigwa. Kiwanja kipo vizuri.
 
Wakuu habari za weekend. Poleni na majukumu ya hapa na pale.
Kiimfaacho mtu chake. Nauza Nyumba yangu ambayo haijaisha.
Sifa za Nyumba/pagale
-Ni Vyumba viwili, katikati ndio kuna sebule.
-Pagale limepigwa bati tayari, Kwa staili ya kisasa.
-Ukubwa WA Kiwanja 26*27m
-Eneo Chanika Zogo Ali
-Umeme upo, nguzo tatu
-Majirani wapo wengi, kumejengeka

Picha nitaupload baadae, Niko mkoa mwingine kuna MTU nimemtuma

Bei 10m

Simu 0716411720
Maelezo na picha ingekuwa vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom