msonganzila
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 204
- 106
Dah mbona unamletea utani mwenzioMkuu mil 5 unachukua??
Dah mbona unamletea utani mwenzio
Mkuu hiyo nyumba kweli unaweza taka nunua kwa M5!?Utani uko wap hapo? Unajua maana ya utani??
Mkuu hiyo nyumba kweli unaweza taka nunua kwa M5!?
hahaahhahaa... daah hii balaa m5 cashMkuu hiyo nyumba kweli unaweza taka nunua kwa M5!?
Sasa maana yakuweka biashara bila Tangazo ni hipi? Nadhani kaweka kila mtu aweke offer yake, otherwise angeweka beiMkuu hiyo nyumba kweli unaweza taka nunua kwa M5!?
Haha nimekusoma kiongoziSasa maana yakuweka biashara bila Tangazo ni hipi? Nadhani kaweka kila mtu aweke offer yake, otherwise angeweka bei
Mi sijaona mahali popote pale biashara ya kwenye mtandao zinafichwa bei, ni Tanzania tu ndio kuna mambo hayo ya ujingaujinga tu
Poa poa kiongozi nimekusomaSasa kama hajaweka bei si maana yake ipo kwenye mnada? C tuba bid ama??
Kumbe ndio mana ulikua unasita kuweka bei!!! Kumbe huuuzi...Bei ni 150million.....