Nyumba inauzwa Arusha

Nyumba inauzwa Arusha

Maro victor

Member
Joined
May 22, 2013
Posts
14
Reaction score
4
Nyumba ipo maji ya chai Arusha, ina eneo la 15*15 ipo hatua 20 kutoka barabara kuu ya Moshi-Arusha. Haijamaliziwa ipo kwenye plasta. Bei ya kutupa nina shida na pesa kwa sasa. Serias buyer njoo tutaone eneo!!
0787913493/0624001171
IMG-20191114-WA0065.jpeg
IMG-20191114-WA0065.jpeg
IMG-20191114-WA0066.jpeg
IMG-20191114-WA0066.jpeg
 
Bei ya kutupa ni kiasi gani.!?
 
We jamaa unatania aise
Kwanza
Hujataja bei
Hujapiga picha za kueleweka
Kajipange upya aise
 
Hatua 20 tu kutoka barabara kuu ya Moshi Arusha! Mbona hatuioni hiyo barabara!!
 
Hatua 20 si ndani ya hifadhi ya barabara mkuu? Tulishanunua sehemu hatua kama 18 approx tukaambiwa isogee nyuma hatua thelathini, Yaani ivunjwe kipande' zaidi ya nusu kumbe na muuzaji alishapewa barua ya kupokea fidia. Uzuri kakubali akipokea fidia tu atarudisha sehemu ya pesa.
 
Hatua 20 si ndani ya hifadhi ya barabara mkuu? Tulishanunua sehemu hatua kama 18 approx tukaambiwa isogee nyuma hatua thelathini, Yaani ivunjwe kipande' zaidi ya nusu kumbe na muuzaji alishapewa barua ya kupokea fidia. Uzuri kakubali akipokea fidia tu atarudisha sehemu ya pesa.
Hapana mkuu haipo ndani ya hifadhi karibu uje kuona sehem
 
Mkuu pole ila nkuambie ukweli mchungu hakuna mnunuaji hapa kwenye comments, mtu aliye serious na wewe atakutafuta kwenye namba na hata kuja kupaona, usihangaike na comments za watu, nimegundua humu watu wengi kejeli zimewajaa ukiweka tangazo lako na mawasiliano piga kimya endelea na shuhuli zingine aliye na nia atakutafuta, pia jaribu kutafuta dalali aliye serious muingie makubaliano kiukwel wao hua na contacts za wanunuaji jappo wanapiga cha juu ila muingie makubaliano tu.
Hapana mkuu haipo ndani ya hifadhi karibu uje kuona sehem
 
Mkuu pole ila nkuambie ukweli mchungu hakuna mnunuaji hapa kwenye comments, mtu aliye serious na wewe atakutafuta kwenye namba na hata kuja kupaona, usihangaike na comments za watu, nimegundua humu watu wengi kejeli zimewajaa ukiweka tangazo lako na mawasiliano piga kimya endelea na shuhuli zingine aliye na nia atakutafuta, pia jaribu kutafuta dalali aliye serious muingie makubaliano kiukwel wao hua na contacts za wanunuaji jappo wanapiga cha juu ila muingie makubaliano tu.
Pamoja sana kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom