dalali Mwanafunzi
Member
- Sep 25, 2016
- 76
- 20

Watu wenye maneno dizain hii mara nyingi mnanakuwaga hamjui hata bei ya tofali,wakati mwengine bora mtu usitoe comment.Hiyo ni nyumba au bada la mbwa?![]()
imelaa vizuri ila bei sio halali kwa hali ya uchumiMbona kama haijakamilika kiujenzi
Nyumba mpya ndiyo inamaliziwaMbona kama haijakamilika kiujenzi
Kwahiyo mkuu hata tusiulizeWatu wenye maneno dizain hii mara nyingi mnanakuwaga hamjui hata bei ya tofali,wakati mwengine bora mtu usitoe comment.
...baba'ako anayo?Hii bei ikiizidii sanaaa elf 14 kwa mwezi narudia tena kodi tsh elf kumi na nne tu...kwa mwezi
Nikikuambia mimi ndio baba yako na kaulize upate ukweli huo usikatae...baba'ako anayo?
....acha kinyekunyeku,jibu swali;Nikikuambia mimi ndio baba yako na kaulize upate ukweli huo usikatae