Nyumba inapangishwa

Nyumba inapangishwa

tungibwaga

Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
51
Reaction score
11
Nyumba inakodishwa, ni two in one apartment zenye vyumba vitatu vya kulala, choo cha ndani, kimoja na cha nje kimoja kwa kila apartment, luku ya umeme kila apartment, jiko, sitting room, feni kila chumba na sitting, floo tiles, parking ndani ya fensi. Maji mpaka ndani.

Kodi kwa mwezi ni Tshs 200,000 inalipwa kwa mwaka au miezi sita.

Nyumba ipo Ukonga Kipunguni B" kwa mawasiliano piga 0713215466 au 0753215466 au 0689413106.
 
iko reasonable hiyo bei. utapata tu. ingekuwa dom ningeichukua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom