fikrapevu sungura
Senior Member
- Oct 26, 2011
- 110
- 11
Uzio pia mkuu...Nyumba nzuri ila tatizo ninaloona nyumba nyingi mpya Tanzania ni kuwa hawafanyi ukarabati wa nje (landscaping). Picha hiyo inaonyesha kwa nje bado kama kazi inaendelea.
Nyumba nzuri sana
ila tatizo iko mbali sana bila private car ni shida
Picha umeondoa?!