Nyumba inapangishwa

MagicM

Member
Joined
Sep 19, 2011
Posts
80
Reaction score
7
Nyumba inapangishwa iko maeneo ya mbezi beach kituo cha samaki. Nyumba iko barabarani ina maji na umeme ina vyumba 4 vya kulala na imezungukwa na huduma muhim kama vile hospital na nyinginezo inaweza kupangishwa kwa familia au kwa bachelors 3 hadi 4.

Kwa wanaopenda kuiona wanaweza kuni PM kwa maelezo zaidi na jinsi ya kupata mawasiliano.

Karibuni Sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…