Nyumba inapangishwa

Nyumba inapangishwa

mtengwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
1,603
Reaction score
871
Iko Mtoni Kijichi, mita chache kutoka stand (ccm). Iko katika hali nzuri. Ina vyumba vi3, sitting room, dining, choo cha ndani, stoo, jiko, security fence, Maji yapo. Kodi laki 3 kwa mwezi. 0714883861.
 
Laki 3 kwa mwezi Kijichi????tatizo wabongo hawajui kuthamanisha nyumba ...nyumba sio majengo banaa, nyumba thamani yake iko kwenye LOCATION period.
 
Ingekua sinza au magomeni ningekucheck mkuu ila kwa huko plus foleni dah! Gudluck mkuu!
 
Iko Mtoni Kijichi, mita chache kutoka stand (ccm). Iko katika hali nzuri. Ina vyumba vi3, sitting room, dining, choo cha ndani, stoo, jiko, security fence, Maji yapo. Kodi laki 3 kwa mwezi. 0714883861.

ina tailiz? jipsam bode?
 
Laki 3 kwa mwezi Kijichi????tatizo wabongo hawajui kuthamanisha nyumba ...nyumba sio majengo banaa, nyumba thamani yake iko kwenye LOCATION period.

I was commonly shocked as you are. I am still shocked with this rate. Anyway, perhaps the demand in those area is big.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
nyumba imeshapangishwa...now days Kijichi iko juu so hata bei za kupangisha vyumba zinapanda siku hadi siku. So msikariri
 
Dar es salaam rent nightmare,, kuna mchambuzi mmoja alichambua juzi kwenye the giardian na kuna mtu aliileta hiyo thread humu.. Dar es salaam is the most expensive city in east and central africa kwenye upande wa housing,, kodi za dar es salaam zipo overpriced..

Sasa kijichi lak 3, je ikiwa sinza, mwenge au ubungo ingekuwa bei gani?
 
kweli mkuu...kila siku bei zinapanda. Viwanja ndo usiseme
Dar es salaam rent nightmare,, kuna mchambuzi mmoja alichambua juzi kwenye the giardian na kuna mtu aliileta hiyo thread humu.. Dar es salaam is the most expensive city in east and central africa kwenye upande wa housing,, kodi za dar es salaam zipo overpriced..

Sasa kijichi lak 3, je ikiwa sinza, mwenge au ubungo ingekuwa bei gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom