Kwanini Hili Tangazo lako usingewasambazia watu wa maeneo ya karibu!!?Kam upo karibu we njoo uone ukiona huwez kupaacha
Tujifunze kwendana na Teknolojia ndugu kuna wengine wanakaa chanika lakini wanatamani kuishi katikati mji, na uwezekano wa kuja kupaona ni mgumu kutokana na shughuli za kiuchumi picha ingesaidia sanaSio ugomv lkn nimeona nimshaur tu Kam anaweza aje apatazame ni Bure ndugu sio pesa