Nyumba inapangishwa tabata

Nyumba inapangishwa tabata

Kabachubya

Member
Joined
Oct 6, 2009
Posts
87
Reaction score
10
Habari wa JF!

Napangisha nyumba ni units mbili. Unit yani upande mmoja una vyumba viwili, jiko,sebule na public choo + bafu. Kuna tank la maji fence na parking pia. Kuna vibanda vya mbwa na kuku kama ni mfugaji.

Nyumba ipo Tabata kimanga bonde la mchicha na kunafikika nyakati zote. Angalia picha kwa huakika zaidi.

Bei ni 250,000/= kwa mwezi kodi ya miezi 6 au mwaka tunapokea na hii haina dalali.

Kwa mawasiliano piga. 0717 123464 au 0762101178

Karibuni sana.
 

Attachments

  • DSC02367.jpg
    DSC02367.jpg
    23.4 KB · Views: 211
  • DSC02370.jpg
    DSC02370.jpg
    20.9 KB · Views: 199
  • DSC02368.jpg
    DSC02368.jpg
    19.3 KB · Views: 184
  • DSC02372.jpg
    DSC02372.jpg
    14.5 KB · Views: 197
  • DSC02365-tbt.jpg
    DSC02365-tbt.jpg
    11.7 KB · Views: 180
  • DSC02364.jpg
    DSC02364.jpg
    8.1 KB · Views: 186
Kaka Bribaki kama kusoma tatizo, hata picha huoni? Inabidi ukaangalie sasa uone vizuri.
 
kwa unit moja hiyo. Na ndio hiyo moja iliyobaki. nyingine ina mtu tayari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom