Salaam,
Nyumba inapangishwa,ina vyumba vitatu vya kulala kimoja miongoni mwa vyumba hivyo ina choo na bafu vingine vilivyobaki vinatumia choo n bafu moja.
Ina jiko,sebule na sehemu ya kulia chakula. Imewekwa marumaru,ina gypsum pia.Umeme na maji vipo.Ipo msamala.
Bei ni Tsh 219900 kwa mwezi.
Nyumba inapangishwa,ina vyumba vitatu vya kulala kimoja miongoni mwa vyumba hivyo ina choo na bafu vingine vilivyobaki vinatumia choo n bafu moja.
Ina jiko,sebule na sehemu ya kulia chakula. Imewekwa marumaru,ina gypsum pia.Umeme na maji vipo.Ipo msamala.
Bei ni Tsh 219900 kwa mwezi.