Nyumba inapangishwa sinza darajani

Nyumba inapangishwa sinza darajani

Joined
Jan 26, 2013
Posts
34
Reaction score
7
Nyumba ipo maeneo ya sinza darajani kwa mwaibula,ina vyumba viwili,sitting room,jiko na choo ndani na stoo.
Bei ni maelewano.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu ya mwenyewe ama mmiliki 0758126342
 
tusubiri masika mkuu..
tucheki kama tutahitaji boat au la!
 
sinza darajani? pale ni tandale mkuu ila wanalazimisha kuita sinza
 
Nyumba ipo maeneo ya sinza darajani kwa mwaibula,ina vyumba viwili,sitting room,jiko na choo ndani na stoo.
Bei ni maelewano.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu ya mwenyewe ama mmiliki 0758126342

İnapangishwa msimu wa kiangazi au hata wa masika?
 
Hakuna kitu hicho, hakuna mahali panapoitwa Sinza darajani pale darajani ni Tandale kwa Mtogore
 
Aache ujanja pori, kwa nin asiseme ni kwa mtogole darajani? kwan Sinza kuna nini hadi utumie kunadi nyumba,
 
Nyumba ipo maeneo ya sinza darajani kwa mwaibula,ina vyumba viwili,sitting room,jiko na choo ndani na stoo.
Bei ni maelewano.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu ya mwenyewe ama mmiliki 0758126342

Weka picha na bei!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom