Nyumba inapangishwa Sinza 350,000/=Tshs

Nyumba inapangishwa Sinza 350,000/=Tshs

Ayster

Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
42
Reaction score
8
Habari!

Nyumba inapangishwa, Sinza Makaburini Dar es Salaam

1. Vyumba vitatu, sebule, dinning, jiko, store
2. Haina fence, haina tiles
3. Mtaa mzuri, wa pili kutoka main Shekilango road
4. Kodi 350,000, inalipwa kwa miezi 12.

Mwenye kuhitaji ana PM
 
huwezi kupokea pesa ya miezi miwilli miwili mkuu?
 
350.000 x 12= 4.200.000 x 5= 21.000.000/= hishi mjini kwa gharama yoyote me love Tz
 
Habari!

Nyumba inapangishwa, Sinza Makaburini Dar es Salaam

1. Vyumba vitatu, sebule, dinning, jiko, store
2. Haina fence, haina tiles
3. Mtaa mzuri, wa pili kutoka main Shekilango road
4. Kodi 350,000, inalipwa kwa miezi 12.

Mwenye kuhitaji ana PM

Acheni uhuni wa kutoza watu kodi miezi 12, huu ni wizi usiovumilika kabisa.

Hv kuna mtu anaelipwa mshahara wa miezi 12 hapa Tz?
 
haina tiles? haina fence? kina lord eyez lazima wasepe na power window zote, kwa maelezo yako tu uliyotoa, hiyo nyumba ni kanyaboya
 
haina tiles? haina fence? kina lord eyez lazima wasepe na power window zote, kwa maelezo yako tu uliyotoa, hiyo nyumba ni kanyaboya

Nyumba kukosa tiles na fense haimanishi ni mbaya, ni nyumba nzuri sana ila mwenye nyumba hana tamaa kuweka bei za sinza
 
Acheni uhuni wa kutoza watu kodi miezi 12, huu ni wizi usiovumilika kabisa.

Hv kuna mtu anaelipwa mshahara wa miezi 12 hapa Tz?

Ni serikali inayowapa mwanya wa kufanya huu ujinga wa kudai kodi kwa mwaka mzima. Hakuna sheria ya kuwalinda wapangaji. Nchi nyingi za ulaya ni kinyume cha sheria kutoza kodi kwa zaidi ya mwezi mmoja. Mtu analipa kodi akishapata mshahara.

Siipendi hii tabia ila basi tu nitafanyaje.

Tiba
 
Ni serikali inayowapa mwanya wa kufanya huu ujinga wa kudai kodi kwa mwaka mzima. Hakuna sheria ya kuwalinda wapangaji. Nchi nyingi za ulaya ni kinyume cha sheria kutoza kodi kwa zaidi ya mwezi mmoja. Mtu analipa kodi akishapata mshahara.

Siipendi hii tabia ila basi tu nitafanyaje.

Tiba

Serikali inapaswa kuliangalia hili suala, unamlipa mtu kodi ya mwaka mzima halafu yy hiyo hela hailipii kodi hata kidogo.

Watanzania ni wapole sana, kila kitu tunakubaliana nacho tu???

Lakini wanaofanya haya mara nyingi ni hawa madalali uchwara waliojazana mitaani.
 
Serikali inapaswa kuliangalia hili suala, unamlipa mtu kodi ya mwaka mzima halafu yy hiyo hela hailipii kodi hata kidogo.

Watanzania ni wapole sana, kila kitu tunakubaliana nacho tu???

Lakini wanaofanya haya mara nyingi ni hawa madalali uchwara waliojazana mitaani.


Hata mimi natamani siku serikali iamue kwenye hili jambo, mana hata mimi ni mpangaji. Sidhani kama hapa ni sehemu sahihi, natamani ningejua jinsi ya kuomba serikali ibadilishe mfumo huu ningekuwemo kwa wenye kulalamika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom