Nyumba inapangishwa, Sae, Mbeya

dalaliwangu

Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
36
Reaction score
1
Nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule kubwa, chumba cha chakula, jiko, selfcontained inapangishwa maeneo ya Sae, Mbeya, kwa kodi ya Tshs. 400,000/= tu kwa mwezi. Ina nyumba ya uwani yenye vyumba chumba sebule, na choo. Ni nyumba mpya.

Kwa mawasiliano, wasiliana nami kwa simu namba 0754060350,0716252818.

Nyote mnakaribishwa!!!!!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…