Nyumba inapangishwa nyumba ya kisasa

Nyumba inapangishwa nyumba ya kisasa

Kk Maneti

Member
Joined
Aug 30, 2013
Posts
26
Reaction score
1
Nyumba inapangishwa iko maeneo ya kinondoni karibu na biafra, nyumba inasebule kubwa,dining,vyumba vitatu na kimoja ni master bedrum,maji 24hours. Nyumba inaparkng gate,fance. Kwa mawasiliano piga 0718999987. Kodi ni laki sita kwa mwezi
 

Attachments

  • 1393410452865.jpg
    1393410452865.jpg
    41.9 KB · Views: 256
  • 1393410768568.jpg
    1393410768568.jpg
    76.2 KB · Views: 263
  • 1393410793681.jpg
    1393410793681.jpg
    66.3 KB · Views: 251
  • 1393410826056.jpg
    1393410826056.jpg
    56.5 KB · Views: 248
hiyo pango nadhani ni muafaka kwa wajumbe wa bunge la katiba, ila kwa mimi mtendaji wa kata ni kama kichuguu na mlima kilimanjaro
 
Wakuu mbona hiyo bei ni kawaida sana?bongo kwa sasa hv nyumba hazishikiki,nenda sinza huko uone bei,nyumba imebana kchz utasikia 1m per month,sio kama napiga debe,ila naelezea reality,

Pia mzee nakuona reflection yako unachukua picha,Dar joto Kali manake umevua shati kabisa!

Kila la heri mkuu.
 
Dah nmecheka sana, hivi kama unalipa laki sita kwa mwezi kwanin hiyo kodi ya mwaka usifanye mpango wa kuanza safari ya kuelekea kuwa na nyumba yako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom